Sunday 13 December 2015

RAILA FINAL WARNING TO UHURU AND RUTO, WHO have never steped any JAIL...


Mimi Raila Amolo Odinga, naambia Rais Uhuru Kenyatta wazi ya kwamba aache hasira na ajue siwezi tishwa kamwe; na kwa Naibu wake Ruto - acha matusi. Hata hiyo Kamiti wanaosikia hawajui iko namna gani - ni mimi mwenyewe ndiyo najua venye ndani yake iko. Wakitaka kuona cha mtema kuni, kesho waje wajaribu za ovyo. Narudia ya kwamba hela za Eurobond hakuna Mkenya mwenye amenukia harufu yake hata kidogo ~ RAILA ODINGA

No comments:

Post a Comment